Habari za Punde

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Aendelea na Kampeni Zake Mkoa wa Kaskazini Unguja

 

Wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwani kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kaskazini Unguja wakitambulishwa na kuombewa Kura kwa Wananchi , wakati wa mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, uliyofanyika katika viwanja vya mpira shangani Mkoa wa Kusini Unguja.























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.