Habari za Punde

WAZIRI MKUU AFUNGUA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Geita na baadae alifungua maonesho ya Teknolojia ya Madini kwenye viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Geita, Septemba 22, 2025. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia uchongaji na uongezaji thamani madini uliokuwa ukifanywa na  Emmanuel Brown alipotembelea banda la maonesho la Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake Tanzania wakati  alipofungua  Maonesho ya Teknolojia ya Madini kwenye Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Geita, Septemba 22, 2025.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji na Wachenjuaji Madini Mkoa wa Geita,  Titus Charles  alipotembelea banda la maonesho la chama hecho  wakati alipofungua  Maonesho ya Teknolojia ya Madini kwenye Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Geita, Septemba 22, 2025. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita , Martin Shigela
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji na Wachenjuaji Madini Mkoa wa Geita,  Titus Charles  alipotembelea banda la maonesho la chama hicho wakati  alipofungua  Maonesho ya Teknolojia ya Madini kwenye Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan Mjini Geita, Septemba 22, 2025. Wa pili kulia ni Mkemia wa uchenjuaji madini, John Ngenda.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.