Habari za Punde

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Nakapanya Mkoani Ruvuma

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Nakapanya katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Tunduru mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2025.


Sehemu ya wananchi wa Nakapanya waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tunduru mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2025.


Shamra shamra katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Nakapanya, Tunduru mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2025.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.