Habari za Punde

Uzinduzi wa Mkutano wa Kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Chwaka Viwanja vya Skuli ya Ndijani Mkoa wa Kusini Unguja

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Kichama Ndg.Talib Ali Talib akimtambulisha na kumuombea kura Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Chwaka Ndg. Ramadhan Muhidin Ramadhan, wakati wa Uzinduzi wa mkutano wa Kampeni wa Jimbo la Chwaka  Mkoa wa Kusini Unguja, uzinduzi huo uliyofanyika katika viwanja vya Skuli ya Ndijani.
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Kichama Ndg.Talib Ali Talib akimtambulusha na kumuombea kura Mgombea Mwakilishi wa Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Chwaka Zanzibar Mhe.Issa Gavu, wakati wa uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa Jimbo hilo uliyofanyika katika viwanja vya Skuli ya Ndijani.





















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.