Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe.Mahmoud Muhammed Mussa (kushoto) akiwa katika mazungumza na Mjumbe wa Kopru Mabingwa wa utengenezaji wa rangi kutoka Nchini Uturuki wenye Ofisi zake Jijini Dar es Salaam, ukiwa katika mazungumzo na Mstahiki Meya, yaliyofanyika katika ofisi za Meya Michezani Mall Jijini Zanzibar.
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment