BADO kauli mbiu
ya Jeshi la Polisi ya utii bila ya shuruti, imekuwa ikidharauliwa na baadhi ya
askari wa jeshi hilo, kama camera ya Gazeti la Zanzibar leo Pemba, ilivyomnasa
askari wa kikosi cha usalama barabarani, alieonekana akiwa amepakiwa kwenye
vespa Z 598 FG, katikati ya mji wa Chakechake, (Picha na mpiga picha wetu, Pemba).
RC Malima Awaomba Ndugu Kujitokeza Kutambua Miili ya Waathirika wa Ajali ya
Maseyu
-
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amewataka wananchi waliokuwa
wakitarajia kuwapokea ndugu zao waliokuwa wakisafiri kutoka Mkoa wa
Morogoro Desemba ...
4 hours ago
0 Comments