Moh'd Seif belo wa pili kushoto mchezaji mwenyenidhamu bora wa msimu kutoka POLISI
Wa kwanza kushoto ni Abubakar Sufiani Kabela wa FIRE mfungaji bora ana magoli sawa na Mussa Ali Mbarouk wa KMKM wa pili kutoka kulia wote wakiwa wamepata zawadi sawa baada ya kua na magoli sawa.... nini maoni yako?
Na wamwisho kulia ni mchezaji bora kijana wa msimu Ibrahim Ali Juma Chafu wa MLANDEGE.
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
5 hours ago

0 Comments