Habari za Punde

MITAA YA ZENJ INAVYOANZA KUN'GARA KWA MABANGO YA UCHAGUZI

Mitaa ya Zanzibar yapambwa na picha za Wagombea wa Urais wa Zanzibar kama ilivyo picha hii zikiwa zimebandikwa picha za Mgombea wa CCM katika moja ya barabara ya rahaleo.

2 comments:

  1. @Mapara,
    Haki ya Mungu hii picha imenishughulisha, nilituwa naitafuta Rahaleo ipi mbona hapaelekei? Mpaka nilipoikuza picha inakugundua kuna mabadiliko fulani hivi, hii Round about hapo siikumbuki vizuri itakuwa mpya...kama eneo la Rahaleo lenyewe ni mkabala wa makutano ya barabara inayotoka kwa Bi Ziredi kuja Kariakooo, kulia kwake kuna Skuli ya Mw'shauri na mbele yeke kuna kariakoo, huku ukipinda kushoto unaelekea posta na kulia unaelekea Michenzani. Natumai sijakosea. Naimiss zanzibar kweli.
    Mdau Misri

    ReplyDelete
  2. Kama hujaja zamani huwezi kuikumbuka imeongezwa Raundi about nyengine pale sasa ziko mbili kwani ilikuwa usumbufu baadhi ya magari yanayotoka Posta kupinda kuelekea Biziredi.

    Ahsante Mdau

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.