Dk Shein akikabidhiwa zawado ya mchoro wa Ikulu ya Zanzibar na mmoja wa akinamama.
Rais wa Zanzibar a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akipokea maandamano ya Umoja wa wanawake wa Mikoa mitano ya Zanzibar, katika Viwanja vya Kisonge, Michenzani Mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Miohammed Shein akiwahutubia akinamama wa mikoa mitano ya Zanzibar
JAJI MUTUNGI AWATAHADHARISHA WANANCHI MATUMIZI YA AI
-
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Tanzania, Jaji Fransis Mutungi amewataka
wananchi wawe makini na matumizi ya akili bandia au akili unde (AI), na
habari za uongo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment