Dk Shein akikabidhiwa zawado ya mchoro wa Ikulu ya Zanzibar na mmoja wa akinamama.
Rais wa Zanzibar a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein, akipokea maandamano ya Umoja wa wanawake wa Mikoa mitano ya Zanzibar, katika Viwanja vya Kisonge, Michenzani Mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Miohammed Shein akiwahutubia akinamama wa mikoa mitano ya Zanzibar
AMRI JUU YA KESI YA LISSU KURUSHWA MUBASHARA KUTOLEWA AGOSTI 18
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imesema Agosti 18,2025
itatoa amri kuhusu kurushwa mubashara kwa maelezo ya m...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment