MTEMBEZA Watalii katika kisiwa cha Pemba akiwa na mtalii huyo akimtembeza katika maeneo ya kisiwa hicho na kujipatia bidhaa za asili ya kisiwa hicho ya Makawa ikiwa ni moja ya vivutio vya watalii katika Visiwa vya Zanzibar. Tour Guide akiwajibika pekupeku bila ya hata viatu Mzungu mtalii akiwa na makawa..
TEITI YAWEKA WAZI RIPOTI YA 15 YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023
-
TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya
Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI
inatak...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment