MTEMBEZA Watalii katika kisiwa cha Pemba akiwa na mtalii huyo akimtembeza katika maeneo ya kisiwa hicho na kujipatia bidhaa za asili ya kisiwa hicho ya Makawa ikiwa ni moja ya vivutio vya watalii katika Visiwa vya Zanzibar. Tour Guide akiwajibika pekupeku bila ya hata viatu Mzungu mtalii akiwa na makawa..
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment