MTEMBEZA Watalii katika kisiwa cha Pemba akiwa na mtalii huyo akimtembeza katika maeneo ya kisiwa hicho na kujipatia bidhaa za asili ya kisiwa hicho ya Makawa ikiwa ni moja ya vivutio vya watalii katika Visiwa vya Zanzibar. Tour Guide akiwajibika pekupeku bila ya hata viatu Mzungu mtalii akiwa na makawa..
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment