Kipi ni kiswahili sanifu katika kuandika neno MUEMBE au MWEMBE kama kwenye mitaa ni Muembe ladu ai Mwembeladu, Muembe Madema au Mwembe Madema, Muembe Beni au Mwembe Beni, Muembe Makumbi au Mwembe Makumbi?
Nadhani katika kutamka hakuna matatizo ila kwenye uandishi.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment