Kipi ni kiswahili sanifu katika kuandika neno MUEMBE au MWEMBE kama kwenye mitaa ni Muembe ladu ai Mwembeladu, Muembe Madema au Mwembe Madema, Muembe Beni au Mwembe Beni, Muembe Makumbi au Mwembe Makumbi?
Nadhani katika kutamka hakuna matatizo ila kwenye uandishi.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment