Kipi ni kiswahili sanifu katika kuandika neno MUEMBE au MWEMBE kama kwenye mitaa ni Muembe ladu ai Mwembeladu, Muembe Madema au Mwembe Madema, Muembe Beni au Mwembe Beni, Muembe Makumbi au Mwembe Makumbi?
Nadhani katika kutamka hakuna matatizo ila kwenye uandishi.
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment