Kipi ni kiswahili sanifu katika kuandika neno MUEMBE au MWEMBE kama kwenye mitaa ni Muembe ladu ai Mwembeladu, Muembe Madema au Mwembe Madema, Muembe Beni au Mwembe Beni, Muembe Makumbi au Mwembe Makumbi?
Nadhani katika kutamka hakuna matatizo ila kwenye uandishi.
UGANDA YAZINDUA UJENZI WA OFISI YA UBALOZI JIJINI DODOMA
-
Serikali ya Jamhuri ya Uganda imezindua mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi
ya Ubalozi wake ambao utekelezaji wake umeshaanza kufanyika katika mjini wa
Ser...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment