WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Ferej akisoma majumuisho ya michango ya Wajumbe waliochangia 
 WAJUMBE Baraza la Wawakilishi wakiwa katika chumba cha Mkutano wakipitisha Bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais jana.
 MWAKILISHI wa Magomeni Salimin Awadh akitaka maelezo ya matumizi ya komoja ya Vifungu vya bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wakati wa kupitisha vifungu vya Wizara hiyo jana.
MWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa  akitaka ufafanuzi wa kimoja cha kifungu cha Wazari hiyo wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais.  
 Hija  Hassan Hija( KIWANI) akitaka ufafanuzi wa kifungu cha bajeti wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Mamamu wa Kwanza wa Rais  
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi  akisikiliza  hoja za Wajumbe  katika kupitisha vifungu vya bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais. 

No comments:
Post a Comment