MAFUNDI wa kampuni inayojenga barabara ya Amani Dunga wakiweka nondo kujenga daraja jipya la Mwera Polisi ikiwa ni ujenzi wa barabara hiyo mpya inayoendelea kwa kasi karibu eneo kubwa la barabara hiyo tayari limeshawekwa lami.
HII ndiyo barabara ya Amani Dunga ikiwa imewekewa lami laini kwa kusubiri kuwekwa lami rasmi ikiwa katika eneo la masingini.
Meya Ahimiza Usafi Jijini Arusha
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, ametoa wito wa kuimarisha
ushirikiano kati ya Halmashauri na mawakala wa ukusanyaji wa ...
0 Comments