Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar, amefanya uteuzi wa Tume ya Utumishi Serikalini Zanzibar.
Katika uteuzi huo, amemteua Othman Bakari Othmani kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, kabla ya hapo ndugu Othman Bakari Othman alikuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo.
Pia amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Tume hiyo.
Walioteuliwa ni Rabia M Hamdani, Fatma Mohamed Othman, Salama Kombo, Yussuf Ali Salim, Salmin Senga Salmin na Juma Haji Juma.
Uteuzi huo umeanza tarehe 7 Mwezi huu.
NMB yabeba huduma za benki hadi kwa mteja popote alipo
-
Benki ya NMB imesema itaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali ili
kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania, ikiwa ni sehemu
ya mka...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment