Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar, amefanya uteuzi wa Tume ya Utumishi Serikalini Zanzibar.
Katika uteuzi huo, amemteua Othman Bakari Othmani kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, kabla ya hapo ndugu Othman Bakari Othman alikuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo.
Pia amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Tume hiyo.
Walioteuliwa ni Rabia M Hamdani, Fatma Mohamed Othman, Salama Kombo, Yussuf Ali Salim, Salmin Senga Salmin na Juma Haji Juma.
Uteuzi huo umeanza tarehe 7 Mwezi huu.
KANALI MZENA: "WAZAZI KULIPA ADA TU NA MATUMIZI MENGINE HAITOSHI"
-
Na Belinda Joseph, Songea – Ruvuma
Wazazi na walezi wametakiwa kuongeza ushirikiano wao katika malezi na
ufuatiliaji wa maendeleo ya watoto wao shuleni, kw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment