Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar, amefanya uteuzi wa Tume ya Utumishi Serikalini Zanzibar.
Katika uteuzi huo, amemteua Othman Bakari Othmani kuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, kabla ya hapo ndugu Othman Bakari Othman alikuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo.
Pia amewateua wafuatao kuwa Wajumbe wa Tume hiyo.
Walioteuliwa ni Rabia M Hamdani, Fatma Mohamed Othman, Salama Kombo, Yussuf Ali Salim, Salmin Senga Salmin na Juma Haji Juma.
Uteuzi huo umeanza tarehe 7 Mwezi huu.
Magazeti : Pitia Hapa Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Leo; 16:09:2025
-
Magazeti ya Leo
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current
News, Entertainment and Advertisements.
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment