BALOZI Amina Salum Ali akipokea tunzo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waafrika waishio Marekani(UACO), Ayub Mfinanga (mwenye vazi jeupe) wa Detroit, nchini Marekani katika sherehe zilizofanyika siku ya Jumamosi. Wamezungukwa na viongozi wa jumuiya mbalimbali za Waafrika kwenye Jimbo la Michigan mwishoni mwa wiki. (Picha kwa hisani ya UACO).
DKT.SAMIA AHUTUBIA MAELFU WANANCHI ZANZIBAR,AAHIDI KITUO CHA KUMBUKUMBU NA
NYARAKA ZA MUUNGANO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema Muungano wa Tanganyika na Za...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment