BALOZI Amina Salum Ali akipokea tunzo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waafrika waishio Marekani(UACO), Ayub Mfinanga (mwenye vazi jeupe) wa Detroit, nchini Marekani katika sherehe zilizofanyika siku ya Jumamosi. Wamezungukwa na viongozi wa jumuiya mbalimbali za Waafrika kwenye Jimbo la Michigan mwishoni mwa wiki. (Picha kwa hisani ya UACO).
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment