BALOZI Amina Salum Ali akipokea tunzo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waafrika waishio Marekani(UACO), Ayub Mfinanga (mwenye vazi jeupe) wa Detroit, nchini Marekani katika sherehe zilizofanyika siku ya Jumamosi. Wamezungukwa na viongozi wa jumuiya mbalimbali za Waafrika kwenye Jimbo la Michigan mwishoni mwa wiki. (Picha kwa hisani ya UACO).
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
6 hours ago

0 Comments