BALOZI Amina Salum Ali akipokea tunzo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waafrika waishio Marekani(UACO), Ayub Mfinanga (mwenye vazi jeupe) wa Detroit, nchini Marekani katika sherehe zilizofanyika siku ya Jumamosi. Wamezungukwa na viongozi wa jumuiya mbalimbali za Waafrika kwenye Jimbo la Michigan mwishoni mwa wiki. (Picha kwa hisani ya UACO).
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment