WANANCHI wakiwa katika harakati za kulizima moto gari aina ya Suzuki Carry, ikiwaka moto katika mtaa wa Michezani kutoka na harakati za kiufundi wakati alipokuwa akirekebisha. hitilafu zilizojitokeza. Hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo jana.
REA Yagawa Majiko na Mitungi ya Gesi kwa Watumishi wa Magereza Kagera
Kuunga Mkono Matumizi ya Nishati Safi
-
Na Diana Byera, Bukoba
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wamezindua zoezi la kugawa majiko na
mitungi ya gesi 486 kwa watumishi wote wa magereza nane za m...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment