Habari za Punde

Tangazo Kwa Wadau wa Blog na Mabloggers Walioko Zanzibar

Tangazo  Kwa  Wadau wa Blog  Walioko Zanzibar                   .  


Assalaamu Alaykum.

 Natumai  wadau wenzangu wa Blog katika Visiwa vya Zanzibar ni Wazima wa Afya na mko katika  harakati za kuwahabarisha wananchi kupitia mtandao huo.
  Napenda kuwajulisha kuwa kutakuwa na Mkutano wa Mablogger wote wa Zanzibar, kwa hiyo tunaomba kujiorodhesha ili kupata mawasiliano kwa urahisi jinsi ya  kukutana na kutowa namba zenu za simu au kuwasiliana na mtandao huu kupitia othmanmaulid@gmail.com.
    Muhimu sana kuna habari njema kwenu ili kukuza  maendeleo ya mtandao huo hapa Zanzibar.
    
Natumai  kupata ushirikiano wenu na kujitokeza ili kufanikisha

1 comment:

  1. Mtafute Ashak wa mzalendo.net. Mmoja wao yuko zenji. Pia usimkose da Salma wa Zanzibaryetu.blogspot.com
    Unganeni mtupe habari.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.