Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
Dk. Edmund Mvungi (katikati) akizungumza na Viongozi wa Shirikisho la
Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) waliofika katika Ofisiza Makao Makuu yaTume Jijini
Dar es Salaam leo (Jumatano, Januari 9, 2013) kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Kulia ni Mjumbe wa Tume,
Bi. Maria Kashonda na katikati ni Katibu Mkuu wa TUCTA, Bw. Nicholus Mgaya.
MAKABIDHIANO YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akikabidhiwa nyaraka mbalimbali za Ofisi ya Makamu wa Rais, kutoka
kwa...
32 minutes ago

No comments:
Post a Comment