Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,
Dk. Edmund Mvungi (katikati) akizungumza na Viongozi wa Shirikisho la
Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) waliofika katika Ofisiza Makao Makuu yaTume Jijini
Dar es Salaam leo (Jumatano, Januari 9, 2013) kuwasilisha maoni yao kuhusu Katiba Mpya. Kulia ni Mjumbe wa Tume,
Bi. Maria Kashonda na katikati ni Katibu Mkuu wa TUCTA, Bw. Nicholus Mgaya.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment