Wahitimu wa chuo cha Modern Tailoring Academy cha Magomeni wakionyesha mitindo ya nguo walizoshona wao wenyewe. Vijana hawa wamepiga picha ya pamoja wakiwa hapo skuli ya Haile Selasie.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment