Rapa bora wa Extra bongo Kabatano (Kulia) akighani moja ya nyimbo zao bora huku akipewa sapoti na nguli wa muziki wa dansi Banza Stone mwana masanja wakati bendi hiyo ilipokuwa ikitumbuiza maeneo ya Sinza katika ukumbi wa Meeda jana usiku.
WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment