Viongozi wa UWT Mikoa Miwili ya Pemba,
wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa
Kamati kuu na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ambaye pia ni Makamo wa Pili wa
Rais wa Zanzibar ,
Balozi Seif Ali Iddi, Huko katika Chuo Cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba ).
MJUMBE wa Kamati kuu na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, ambaye pia ni Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na viongozi wa UWT wa Mikoa Miwili ya Pemba, Huko katika Chuo Cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba.
MASHEHA wa Mikoa miwili ya Pemba,wakiwa
katika mkutano wa pamoja, ulioitishwa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar,
Balozi Seif Ali Iddi, Huko katika Chuo Cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, Pemba ).
No comments:
Post a Comment