Msimu wa Madoriani tayari umeaza na kuaza kuletwa Marikiti Darajani kwa wateja wa bidhaa hiyo doriani moja limefika kuuzwa kwa bei ya shilingi 4500/= hadi 6000/= Doriani ni tunda ambalo limetokea kupendwa na Wananchi wengi wa ndani ya Zenj na nje ya Zenj kutokana ladha yake kuwa nzuri lakini linachoma kutokana na miba yake.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment