Msimu wa Madoriani tayari umeaza na kuaza kuletwa Marikiti Darajani kwa wateja wa bidhaa hiyo doriani moja limefika kuuzwa kwa bei ya shilingi 4500/= hadi 6000/= Doriani ni tunda ambalo limetokea kupendwa na Wananchi wengi wa ndani ya Zenj na nje ya Zenj kutokana ladha yake kuwa nzuri lakini linachoma kutokana na miba yake.
FCC YAWANOA WAFANYABIASHARA DODOMA KUHUSU MADHARA YA BIDHAA BANDIA
-
*Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Salvator
Chuwa,akizungumza wakati wa semina maalum kwa wafanyabiashara mkoani Dodoma
yenye lengo la ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment