MJUMBE wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Bw. Humphery Polepole (kushoto) akitoa mada kuhusu Rasimu
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania iliyoandaliwa naTume hiyo kwa baadhi ya
wafanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Uingereza nchini. Warsha hiyo ya siku moja ilifanyika
leo (Ijumaa Juni 21, 2013) katika Ofisi za Ubalozi huo jijini Dar es Salaam.
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
8 hours ago
0 Comments