MJUMBE wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Bw. Humphery Polepole (kushoto) akitoa mada kuhusu Rasimu
ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania iliyoandaliwa naTume hiyo kwa baadhi ya
wafanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Uingereza nchini. Warsha hiyo ya siku moja ilifanyika
leo (Ijumaa Juni 21, 2013) katika Ofisi za Ubalozi huo jijini Dar es Salaam.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment