Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Hamad akizungumza na Balozi Mdogo wa Oman Zanzibar,Sheikh Saleh Salum, alipofika Osini kwake migombani kujitambulisha kwa Makamo wa Kwanza. wa Rais wa Zanzibar kwa kuanza kazi hivi karibuni katika ofisi ya Zanzibar. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
4 hours ago
Du! NIMEPENDA HII YAANI WIZI WAZI WAZI WALA HAWAOGOPI HII INAONYESHA FIKA KUWA KUWA KIGOGO ANAWALINDA KWA KIASI FULANI.
ReplyDelete