Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Viongozi wa Chama alipowasili katika viwanja vya
Ofisi ya CCM Kisiwandui, kushiriki katika Kikao cha siku moja cha
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu CCM Taifa,kilichofanyika leo Mjini
Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein,akiendesha Mkutano wa Siku Moja wa Kamati Maalum ya Halmashauri
Kuu ya Taifa CCM,katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya CCM Kisiwandui
Mjini Zanzibar
Baadhi ya wajumbe wa Kikao cha siku moja cha Kamati
Maalum ya Halmashauri Kuu CCM Taifa,kilichofanyika leo Mjini
Zanzibar,wakifuatilia kwa makini mada wakati kikao hicho kikiendelea
chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein,(hayupo pichani).{
Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya
Halamashauri Kuu ya CCM Taifa NEC,wakiwa tayari kuweka kumbu kumbu ya
michango mbali mbali itakayotolea kufuatia mada zitakazotolewa katika
Kikao cha siku moja chini ya mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapiunduzi,pia Makamo Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani).{Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
No comments:
Post a Comment