Habari za Punde

Zanzibar Heroes 2 - South Sudan - 1 - Cecafa

Kiungo wa Zanzibar, Suleiman Kassim 'Selembe' akipiga mpira mbele ya beki wa Sudan Kusini, Philip Delfino katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na kati, CECAFA Challenge leo Uwanja wa Nyayo, Nairobi, Kenya. Zanzibar ilishinda 2-1.



Mshambuliaji wa Zanzibar Ally Badru alikosa bao la wazi leo 


Kiungo wa Zanzibar, Masoud Ally Mohamed akipasua katikati ya wachezaji wa Sudan Kusini


Badru akimtoka Delfino



Ally Badru akimtoka Richard Justin
Picha zote kwea hisani ya Mahmoud bin Zubeiry

2 comments:

  1. bwana bin zubeir kuweka jina lako katikati ya picha uloziweka hapa manake nini, mtandao huu wanatumia watu wingi wacha ushamba huo, kama huwezi kusaidia watu mpaka ulete kiburi chako basi tutasamehe usitutese kwa kitu chako yakhe.

    ReplyDelete
  2. Wewe Anonymous ndio wa kuacha ushamba. Zubeir ana haki ya kueka alama katika picha zake. Imeruhusika hio kisheria (Copyright laws).

    Pengine ungemshauri namna ya kuboresha alama zake anapoziweka katika picha.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.