Magari ya Baraza laManispa Zanzibar yakiwa katika viwanja vya Ofisi hizo darajani wakisubiri kukamilika kwa taratibu za kuaza kutumika kwa ajili ya kuuweka Mji wa Zanzibar katika mazingira ya Usafi, Magari haya yatakuwa changamoto kwa kuweka usafi na kupunguza mrundikano wa mataka katika sehemu mbalimbali za Unguja.
Magari haya yatumike kwa uangalifu na kuweza kutumika kama yalivyokusudiwa na kupatikwa kwa matengenezo kwa wakati ili kuweza kudumu kwa muda mrufu ili kuweza kutowa huduma ya usafi.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
13 hours ago

Hapa zanzibar wachiliambaili ha ya magari ya kisasa hata ipatikane ndege bado mjiwetu utakuwamchafu,kwanza watu wa zanzibar wanapenda kujifanya wastaarabu huku wana vunja sheria, mtuna heshima yakea , siabu kumuona akikojoa kando ya bara bara, ikesha wanasema wanataka kupumua
ReplyDelete