Ajali hiyo Kijana mpanda Vespa akiwa na abiria wake akigaragara baada ya kugongwa na gari wakati akipita sehemu siyo yake na kupata ajali hiyii maeneo ya bembela.
Jamaa akimfuata dereva kumlaumu baada ya kuwagonga, Lakini kosa ni la mpanda vespa analaumu bure.
KAIMU MKURUGENZI MKUU FCC ATEMBELEA BANDA LA WMA SABASABA
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma
Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la
Wakala Wa V...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment