Ajali hiyo Kijana mpanda Vespa akiwa na abiria wake akigaragara baada ya kugongwa na gari wakati akipita sehemu siyo yake na kupata ajali hiyii maeneo ya bembela.
Jamaa akimfuata dereva kumlaumu baada ya kuwagonga, Lakini kosa ni la mpanda vespa analaumu bure.
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment