Nyumba ya ajabu baharini huvutia watalii na wenyeji kwa kupata huduma za Chakula na viwanji. Nyumba hii ikiwa imejengwa kwa mbao na makuti,Hutowa huduma kwa wtu mbalimbali wanaofika katika nyumba hiyo inayoelea baharini
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
56 minutes ago
Uandishi gani huu habari. Iko wapo, inamilikiwa na nani. Burudani gani?
ReplyDelete