Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
sehemu ya kukalia katuka Bunge jijini Dodoma alikotembea kukagua inayokarabati na
kufanyiwa marekebisho tayari tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la
katiba baadaye mwezi huu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa sehemu
mbalimbali za majengo ya Bunge jijini Dodoma
alikotembea kukagua inayokarabati na kufanyiwa marekebisho tayari tayari
kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi huu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na wafanyakazi wa
kampuni ya ujenzi inayokarabati na kufanyia marekebisho ukumbi wa bunge mjini
Dodoma tayari tayari kwa kupokea wajumbe wa Bunge la katiba baadaye mwezi huu.(Picha nav Ikulu)
No comments:
Post a Comment