PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
20 minutes ago
ndugu yangu Rais Kikwete , hata uchukue timu gani haisadii kitu sisi muungano hatuutaki , hata uje na malaika wa mungu kukusindikiza basi kazi bure , muungano mwisho, zanzibar huruuuuuuuuuuu huu ndio ujumbe wetu , na kama mwadilifu wa kweli unatakiwa uheshimu hisia na matakwa ya wazanzibari
ReplyDelete