Habari za Punde

Rais Kikwete Aonana na Rais Mstaaf wa Namibia Mhe. Sam Nujoma Ikulu Dar.

 
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimtembezea sehemu mbali mbali za Ikulu na Rais Mstaafu wa Namibia Mhe. Sam Nujoma aliyemtembelea  leo April 27, 2014.Mhe Nujoma alikuwa ni mmoja wa watu mashuhuri waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru jana.
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Mstaaf wa Namibia Mhe. Sam Nujoma alipofika Ikulu Dar-es-Salaam  kumtembelea  baada yakushiriki sherehe za maadhimisho ya Muungano wa Tanzania kutimia Nusu Karne (Miaka 50) baada ya kumtembezea sehemu mbali mbali za Ikulu.(Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.