Habari za Punde

Raza ashauri Bunge la Katiba liakhirishwe


Mwakilishi wa Jimbo la Uzini(CCM) Mohamedraza Hassanal akizungumza na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Hoteli ya Grand Palace mjini Zanzibar.
 
Katika mazungumzo yake alisema ni Vyema Bunge la Katiba likaghairishwa ili kutoa fursa zaidi Watu wajihusishe na harakati za Uchaguzi Mkuu wa 2015 na Kupatikane Wasaa mpana wa kujadiliana kwa dhamira ya dhati ya kupata Katiba Bora inayoridhiwa na upande wa Bara na Visiwani.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.