Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiwa kazini kubadilisha mifunuko ya moja ya mtaro wa maji machafu katika eneo la mkunazini ambao sehemu ya mfuniko huo umeibiwa na watu wasiojilikana na kuacha sehemu hiyo kuwa wazi na kuhatarisha watumiaji wa barabara hiyo.
WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
WILAYANI MALINYI
-
Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza
Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa
kuendelea na k...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment