Habari za Punde

Wadau Kumradhini kwa Tatizo lililojitokeza katika Mtandao kuingiliana. bila ya idhini yetu.

Asalamu Aleykum.

 Kumradhini kwa kwa tatizo lililotokea kuingiliana na Mtandao na kupata simu kwa baadhi ya  Wadau wetu kuliona hilo tatizo na kutuarifu.Tunaomba radhi sana kwa wananchi waliokumbana nalo tatizo hilo wakati wakisoma habari kupitia mtandao huu.

Wadau walituarifu tatizo hilo na kupitia katika kutoliona. Tunamshukuru Mwananchi huyo kwa kuona picha haiendani na maadili yetu kuonekana katika mtandao wetu, Tunawaombeni radhi ena sana  wananchi waliokutana na tatizo hilo. 

Wako Msimamizi wa Mtandao huu.   

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.