MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama
sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe
maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM
Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
16 hours ago

No comments:
Post a Comment