MCHEZO wa karata ambao umekuwa ukichezwa kama
sehemu ya starehe, wakati umefika kwa Zanzibar kuweka kanuni na kuwekea kombe
maalumu ili wachezaji waone faida yake, kama hawa wa maskani ya wazee wa CCM
Mkoani wakisafiri kwenye mchezo huo kwenye maskani yao (picha na Haji Nassor, Pemba)
ULEGA AOMBA KURA KWA AJILI YA DKT. SAMIA, UBUNGE NA MADIWANI MKURANGA
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga, Mkoa wa Pwani kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi (CCM),Alhaj Abdallah Ulega, leo Jumatatu Septemba 8, 2025
ameendelea...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment