Wananchi wakiagalia magari yaliogongana katika barabara ya mwanakwerekwe, katika ajali hiyo iliotokea katika moja ya njia ya kukatisha kurudi sokoni kwerekwe gari ndogo ikiwa katika muelekeo wa kukata kona hiyo na kustukia kugongwa na gari ya pick up ikiwa na shehena ya saruji, katika ajali hiyo hakuna mtu akiyejeruhiwa ila kulikuwa na uharibifu wa gari ya salon upande wa dereva. kama inavyoonekana.
Habari : Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa Dharura wa SADC
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi
W...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment