Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2010/2015 , imekuwa ikitekelezwa kwa Vitendo , Kampuni ya H-Young, ikiifanyia matengenezo Bara bara ya Pembeni -Pandani yenye urefu wa Kilomita 2, kwa kiwango cha Kifusi , kama alivyoahidi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk, Ali Moh'd Shein kuzifanyia Matengenezo barabara za Vijijini , hapa Magari ya Kampuni hiyo ikimwaga Kifusi tayari kwa matengezo kama yalivyokutwa na Mpiga picha wetu, Picha na Bakar Mussa-Pemba.
UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI NI FURSA MPYA YA VIJANA KUINUKA
-
Na Pamela Mollel, Arusha.
Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji katika ufugaji wa
kuku wa kienyeji, kwa kuwa ni biashara yenye faida k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment