Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2010/2015 , imekuwa ikitekelezwa kwa Vitendo , Kampuni ya H-Young, ikiifanyia matengenezo Bara bara ya Pembeni -Pandani yenye urefu wa Kilomita 2, kwa kiwango cha Kifusi , kama alivyoahidi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk, Ali Moh'd Shein kuzifanyia Matengenezo barabara za Vijijini , hapa Magari ya Kampuni hiyo ikimwaga Kifusi tayari kwa matengezo kama yalivyokutwa na Mpiga picha wetu, Picha na Bakar Mussa-Pemba.
JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment