Habari za Punde

Barabara ya Pembeni - Pandani yafanyiwa ukarabati wa kiwangio cha kifusi


Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2010/2015 , imekuwa ikitekelezwa kwa Vitendo , Kampuni ya H-Young, ikiifanyia matengenezo Bara bara ya Pembeni -Pandani  yenye urefu wa Kilomita 2, kwa kiwango cha Kifusi , kama alivyoahidi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk, Ali Moh'd Shein kuzifanyia Matengenezo barabara za Vijijini , hapa Magari ya Kampuni hiyo ikimwaga Kifusi tayari kwa matengezo kama yalivyokutwa na Mpiga picha wetu, Picha na Bakar Mussa-Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.