Habari za Punde

Mafunzo ya maadili mema na uadilifu kwenye biashara ya karafuu

 
AFISA Mdhamini shirika la Biashara la taifa ZSTC Pemba Mhe:Abdalla Ali Ussi, akitoa ufafanuzi wa mafunzo ya Maadili mema na uadilifu katika kufanya biashara ya karafuu, kwa mashekhe na maimamu wa miskiti ya Mkoa wa kaskazini, huko katika ofisi ya Elimu Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MKUU wa Mkoa wa kaskazini Pemba Mhe:Omar Khamis Othman, akifungua mafunzo ya siku moja kwa mashekhe na Maimamu wa Miskiti ya Mkoa wa kaskazini Pemba, juu ya maadili mema na uadilifu katika kufanya biashara ya karafuu, huko katika ofisi ya Elimu Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.