Habari za Punde

Waziri Haroun kwa Kushirikiana na (ILO) Wazindua Kitabu cha Sheria za Kazi katika lugha nyepesi ni Toleo Maalum kwa Ajili ya Wafanyabiashara Ndogondogo na za Kati.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi na Utumishi wa Umma Haroun Ali Suleiman na Mkurugenzi wa (ILO) kanda ya Afrika Aeneas C. Chuma wakizindua kitabu cha sheria za Kazi katika lugha nyepesi, katika Hoteli ya Double Tree Shangani Mjini Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Kazi na Utumishi wa Umma Haroun Ali Suleiman akizungumza na wageni waalikwa katika sherehe za Uzinduzi wa kitabu cha sheria za Kazi katika lugha nyepesi katika Hoteli ya Double Tree Shangani Mjini Zanzibar.
Baadhi ya walikwa waliohudhuria katika Uzinduzi wa kitabu cha sheria za Kazi katika lugha nyepesi Hoteli ya Double Tree Shangani.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.