Askari wa Manispa Zanzibar wakiwa katika harakati za kuliondosha gari iliopakiwa katika eneo halistahiki kupaki magari katika eneo Shirika la Bandari Malindi Zanzibar.
Likivutwa na Gari maalum ya kuchukulia magari bila ya kuleta uharibifu wa gali linalochukuliwa.i
MAMA MARIAM MWINYI AKUTANA NA MKE WA RAIS WA FINLAND
-
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam Mwinyi,
ameihakikishi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment