Habari za Punde

Ras wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amejumuika na Wananchi Katika Kuuaga Mwili wa Marehemu Charles Martin Hilary Viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini kitabu cha maombolezi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji wa Serikali Marehemu Charles Martin Hilary, wa hafla ya kuuaga mwili wa Marehemu iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja




 

















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.