RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya makaburi ya Mwanakwerekwe
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria maziko ya Marehemu Charles Martin
Hilary, aliyekuwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa
Serikali yaliyofanyika leo 14-5-2025 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment