Habari za Punde

Mjomba Charles Afariki Alfajiri ya Leo 11-5-2025


 #TANZIA Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary afariki dunia alfajiri ya leo Mei 11, 2025.

Kwa taarifa zaidi, kurasa za ZBC @zbc_zanzibar zitaendelea kuwajuza.

#ZBCUpdates

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.