Habari za Punde

Ras wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili  katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika 10-5-2025 Mkoa wa Kusini Unguja.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili  katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika l0-5-2025 Mkoa wa Kusini Unguja.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Divisheni ya Usimamizi Msaada wa Kisheria  Zanzibar,Yusfa Abdalla Said, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa  Kisheria ya Mama Samia, uliyofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Wizara ya Katiba na Sheria Tanzania –URT. Edith Shekidele, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa  Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Vicent Innocent, Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa  Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Afisa Habari Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Zanzibar Asha Maulid Ali, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa  Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia na kuwapongeza Wanafunzi wa Skuli za Msingi kutoka Mkoa wa Kusini Pemba, baada ya kumaliza kutowa burudani ya wimbo maalumu wa Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa wa Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Mtende  10-5-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo  iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende

BAADHI ya Wanasheria wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja.

WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo  iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo  iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende.
BAADHI ya Viongozi mbalimbali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja.
BAADHI ya Viongozi mbalimbali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.