Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi hall la Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja leo 15-10-2025 na kuzungumzia Sera za Chama chake kikipata ridhiaa ya kuchaguliwa katika Uchaguzi Mkuu 2025.
Chama cha ADC Chatowa Mafunzo kwa Mawakala Wao wa Usimamizi Uchaguzi Mkuu
2025
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid
akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo
yaliyofan...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment