Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe. Hamad Rashid akizungumza na Mawakala wa Chama hicho wakati wa ufunguzi wa mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi hall la Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi Unguja leo 15-10-2025 na kuzungumzia Sera za Chama chake kikipata ridhiaa ya kuchaguliwa katika Uchaguzi Mkuu 2025.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
33 minutes ago












0 Comments