MAKAMU Mwenyekiti wa CUF taifa Mhe: Juma Duni Haji (katikati) akiwa amenyanyua mikono kuomba dua, kwenye hitma ya kuwaombea dua wanachama wa chama cha CUF, waliotangulia mbele ya haki mwaka 2001, dua hio iliohudhuriwa na viongozi mbali mbali wa kitaifa wa chama hicho, ilifanyika jana mskikiti wa Ijumaa Chachani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Benki ya NBC Yakabidhi Kombe la Ubingwa wa NBC Championship kwa Kengold.
-
Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya
Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu ya Kengold
yen...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment