Rais wa Zanzibar na Mwenmyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuifungua Madrasatul Al-Tawheed iliyopo Kiongoni Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja jana alipofanya ziara maalum katika wilaya hiyo (kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mhe,Haroun Ali Suleiman,[Picha na Ikulu.]
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment