Ismail Jussa , Mwakilishi wa Stone Town, Zanzibar kupitia chama cha CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo Washington, D.C. (DMV) kuongea na waTanzania Jumamosi February 28, 2015 kuanzia saa 10 jioni hadi mbili usiku (4pm-8pm). Zingatia muda
Agenda;
Mchakato wote wa Katiba mpya
Ufafanuzi juu ya muundo wa serikali tatu
Uamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu
Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pacha
Hizi mada zitakazozungumzwa mimi zinanipa tabu kidogo,kwanza haya maneno yanayotumika. Hivi neno 'Dhalimu limekaa sehemu sahihi pale.Sitaki kwenda kiundani kwenye huo mchakato ila kutumia neno 'dhalimu" ni ku exaggerate kwa hali ya juu. Lakini muwakilishi wa diaspora si alikuwepo bungeni iweje leo isemwe diaspora walitegwa. Propanga nyengine hazitufikishi mbali katika kulitetea na kuliletea maendeleo Taifa letu hili changa.
ReplyDelete