MTENDAJI wa chuo cha biashara na elimu Zanzibar, Z.C.B.E Ahmed Mohamed akizungumza na wanafunzi juu ya matayarisho ya mahafali ya kwanza ya chuo hicho, yanayotarajiwa kufanyika Jumamosi, chuo cha Amali Vitongoji Chake Chake Pemba, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa pili wa rais Zanzibar Mhe: Balozi Seif Ali Idd, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Mchezo wa PBZ Premier League Kati ya Mlandege na Muembemakumbi City
Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu Hizo Zimetoka Sare ya 0-0
-
Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege Jamal Saleh (kushoto) akiwani mpira na
Beki wa Timu ya Muembemakumbi City Samir Khamis (kulia) wakati wa mchezoi
wao w...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment