MTENDAJI wa chuo cha biashara na elimu Zanzibar, Z.C.B.E Ahmed Mohamed akizungumza na wanafunzi juu ya matayarisho ya mahafali ya kwanza ya chuo hicho, yanayotarajiwa kufanyika Jumamosi, chuo cha Amali Vitongoji Chake Chake Pemba, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa pili wa rais Zanzibar Mhe: Balozi Seif Ali Idd, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
IAA YAANZA UJENZI KAMPASI YA SONGEA
-
SHILINGI Bilioni 18, zimetolewa kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi
ya Kiuchumi (HEET), ili kufanikisha ujenzi Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA)
ka...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment